
Maneno Yaliyo Bora Kabisa Kutoka kwa Mwenyezi Mungu, Kristo wa Siku za Mwisho
(Uteuzi wa Neno Laonekana katika Mwili)Kitabu hiki kina dondoo kutoka katika maneno yaliyo bora kabisa yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, katika Neno Laonekana katika Mwili. Maneno haya yaliyo bora kabisa yanafafanua ukweli moja kwa moja, na yanaweza kuwawezesha watu waelewe mapenzi ya Mungu moja kwa moja, waje kuijua kazi Yake, na wapate maarifa kuhusu tabia Yake na kile Anacho na alicho. Maneno haya ni mwongozo ambao kwao wale wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu wanaweza kutafuta nyayo Zake. Yanaweza kukuongoza upate mlango wa kuingia katika ufalme wa mbinguni.
1I. Maneno Bora Zaidi Juu ya Hatua Tatu za Kazi ya Kuwaokoa Wanadamu
A. Kuhusu Ufunuo wa Mungu wa Kazi Yake katika Enzi ya Sheria
B. Kuhusu Ufunuo wa Mungu wa Kazi Yake katika Enzi ya Neema
C. Kuhusu Enzi ya Ufalme–Enzi ya Mwisho
2II. Maneno Bora Zaidi Juu ya Kazi ya Mungu ya Hukumu katika Siku za Mwisho
3III. Maneno Bora Zaidi Juu ya Mafumbo ya Mungu Kupata Mwili
4IV. Maneno Bora Zaidi Juu ya Kuonekana na Kazi ya Mungu
5V. Maneno Bora Zaidi Juu ya Kuijua Kazi ya Mungu
6VI. Maneno Bora Zaidi Juu ya Uhusiano Kati ya Kila Hatua ya Kazi ya Mungu na Jina la Mungu
7VII. Maneno Bora Zaidi Juu ya Biblia
8VIII. Maneno Bora Zaidi Juu ya Tabia ya Mungu na Kile Anacho na Alicho
9IX. Maneno Bora Zaidi Juu ya Kumjua Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee
D. Mungu kama Chanzo cha Uzima wa Vitu Vyote
10X. Maneno Bora Zaidi Kuhusu Ukweli ni Nini
11XI. Maneno Bora Zaidi Juu ya Kufichua Jinsi Shetani Huwapotosha Wanadamu
12XII. Maneno Bora Zaidi Juu ya Kukifichua Asili ya Shetani ya Wanadamu Wapotovu na Kiini na Asili Yao
13XIII. Maneno Juu ya Kufichua Mawazo, Uzushi na Uongo wa Kidini wa Wanadamu Wapotovu
14XIV. Maneno Bora Zaidi Juu ya Katiba, Agizo za Utawala na Amri za Enzi ya Ufalme
15XV. Maneno Bora Zaidi Juu ya Kuingia Katika Uhalisi wa Ukweli
A. Kuhusu Kuwa na Imani katika Mungu
B. Juu ya Kumwomba na Kumwabudu Mungu
C. Juu ya Kuelewa Ukweli na Kuingia katima Uhalisi
D. Juu ya Tofauti Kati ya Kazi ya Mungu na ya Mwanadamu
E. Juu ya Kuelewa Kazi ya Roho Mtakatifu na Kutambua Kazi ya Pepo Wabaya
F. Juu ya Kuelewa Tabia Potovu ya Mtu na Asili na Kiini cha Mtu
G. Juu ya Jinsi ya Kuwa Mtu Mwaminifu
H. Juu ya Jinsi ya Kumtii Mungu
I. Juu ya Kutimiza Wajibu wa Mtu vya Kutosha
J. Juu ya Kumcha Mungu na Kuepuka Uovu
L. Juu ya Kufuatilia Kumpenda Mungu
M. Juu ya Jinsi ya Kupitia Hukumu na Kuadibiwa, na Majaribu na Usafishwaji
N. Juu ya Kuchagua Njia ya Mtu katika Imani
O. Juu ya Kumtumikia Mungu na Kumshuhudia
P. Juu ya Kutupilia Mbali Ushawishi wa Shetani na Kupata Wokovu
Q. Juu ya Mabadiliko ya Tabia na Kukamilishwa na Mungu
16XVI. Maneno Juu ya Mahitaji, Ushawishi, Maliwazo na Maonyo ya Mungu
A. Juu ya Mahitaji ya Mungu kwa Mwanadamu
B. Juu ya Kushawishi kwa Mungu wa Mwanadamu
C. Juu ya Maonyo ya Mungu kwa Mwanadamu
18XVIII. Maneno Juu ya Kutabiri Uzuri wa Ufalme na hatima ya Wanadamu, na Ahadi na Baraka za Mungu