Kuwa Mtu Mwaminifu Ni Kuzuri Kweli!
Kwa njia hii nilitenda kama mtu mwaminifu, yule ambaye kweli alitenda kulingana na matakwa ya Mungu, na biashara ikawa bora zaidi na zaidi. Nilijua kwamba hii ilikuwa baraka ya Mungu. Mungu hakunipa vitu yakinifu tu. Muhimu zaidi pia Alinifundisha jinsi ya kutenda. Katika dunia halisi kweli ni vizuri kutenda kama mtu mwaminifu kulingana na neno la Mungu!