Usomaji wa Hivi Karibuni
Unajua jinsi Mungu anavyotekeleza kazi ya kumtakasa na kumwokoa mwanadamu katika siku za mwisho? Tunawezaje kupata baraka na ahadi za Mungu? Mungu anasema: “Wote wanaonyenyekea chini ya utawala Wake watapata kufurahia ukweli wa juu na kupata baraka nyingi mno. Wataishi katika mwanga kwa kweli, na watapata ukweli, njia na uhai.”