Makala ya hivi Karibuni
Ushuhuda wa Matukio ya Maisha
ZaidiHatimaye Naelewa Maana ya Kutimiza Wajibu Wangu
Na Xunqiu, Korea ya Kusini Mwenyezi Mungu anasema, “Mwanadamu kufanya wajibu wake ni, kwa uhakika, kutimiza yote yaliyo ya asili yake, yaani, yale ya…
Nimejifunza Jinsi ya Kuwatendea Watu Vizuri
Na Siyuan, Ufaransa Miaka michache iliyopita, nilikuwa nikifanya wajibu wa kiongozi wa kanisa. Kulikuwa na ndugu mmoja kanisani aliyekuwa na jina la …
Hatimaye, Nimejifunza Jinsi ya Kutimiza Wajibu Wangu
Na Xincheng, Italia Mwenyezi Mungu anasema, “Kila mara ni katika harakati ya kufanya wajibu wake ndipo mwanadamu polepole anabadilishwa, na ni katika…
Ubora Duni wa Tabia Sio Kisingizio
Na Zhuiqiu, China Hapo zamani, kila wakati nilipokabiliwa na shida fulani wakati wa kutekeleza wajibu wangu, au nilifanya kazi yangu vibaya, nilidhan…
Ushuhuda wa Washindi
ZaidiMungu Ni Nguvu Yangu Katika Maisha
Na Xiaohe, Mkoa wa Henan Katika kile kilichohisi kama kufumba na kufumbua, nimemfuata Mwenyezi Mungu kwa miaka 14. Katika miaka hii yote, nimepitia m…
Kutumikia Wakati wa Upeo wa Ujana Gerezani
Na Chenxi, China Kila mtu husema kuwa upeo wa ujana wetu ndio wakati bora sana na safi zaidi wa maisha. Labda kwa wengi, miaka hiyo imejaa kumbukumbu…
Wimbo wa Maisha Katikati ya Uharibifu
Na Gao Jing, Mkoa wa Henan Mnamo mwaka wa 1999, nilibahatika kukubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho. Kupitia kusoma maneno ya Mungu, nilif…
Mateso na Taabu Zilinifanya Nimpende Mungu Hata Zaidi
Na Liu Zhen, Mkoa wa Shandong Jina langu ni Liu Zhen. Nina umri wa miaka 78, na mimi ni Mkristo wa kawaida tu katika Kanisa la Mwenyezi Mungu. Ninams…
Ushuhuda wa Kumrudia Mungu
ZaidiUfalme wa Mbinguni Kwa Kweli Upo Duniani
Na Chen Bo, China Tunachotamani zaidi sisi waumini ni kuweza kuingia katika ufalme wa mbinguni na kufurahia furaha ya milele aliyopewa mwanadamu na M…
Kuja Nyumbani
Na Muyi, Korea ya Kusini “Upendo mwingi wa Mungu amepewa binadamu kwa ukarimu, unamzunguka binadamu; binadamu ni mnyofu na asiye na hatia, aliye huru…
Fumbo la Utatu Linafichuliwa
Na Jingmo, Malaysia Nilikuwa na bahati katika mwaka wa 1997 kukubali injili ya Bwana Yesu na nilipobatizwa, mchungaji aliomba na kunibatiza kat…
Bahati na Bahati Mbaya
Kama haingekuwa kwa ajili ya ugonjwa wangu ambao umenizuia kutafuta umaarufu na kupata, bado ningekuwa mashine ya kutengeneza fedha duniani. Ningekuwa kipofu kwa hili mpaka uharibifu wa Shetani uniue. Shetani alinidhuru mimi kwa kutumia umaarufu, faida, na magonjwa. Kinyume na hilo, Mwenyezi Mungu alitumia ugonjwa yangu kunileta mbele Yake. Kupitia kwa maneno Yake, niliona wazi kwamba Shetani anahusika na upotovu wa mwanadamu. Niliona pia wazi jinsi ilivyo vibaya na cha kudharauliwa kwa Shetani kutumia umaarufu na faida kuwameza watu. Hatimaye nilikuwa katika nafasi ya kutupa mbali pingu za umaarufu na faida na kuanzisha mtazamo sahihi wa maisha. Roho yangu iliwekwa huru. Mungu ni mwenyezi sana na mwenye busara!