Christian Testimony Video | Ukweli Umenionyesha Njia

01/09/2020

Mhusika mkuu ni kiongozi wa kanisa anayegundua makosa na matatizo fulani katika wajibu wa kina ndugu. Badala ya kujaribu kushiriki juu ya ukweli ili kuyasuluhisha na kuonyesha njia ya utendaji, anategemea tabia yake ya kiburi kuwakaripia na kuwashughulika ndugu zake. Kama matokeo, ndugu zake wanaishia kuhisi kwamba wamezuiwa, hali zao zinaathirika, na kazi ya kanisa inaanza kufanya vibaya. Wakati huo tu ndipo anapokuja mbele za Mungu kuomba, anatafakari juu yake mwenyewe, na anatafuta ukweli. Je, ataelewa vipi ukweli kupitia maneno ya Mungu na kupata njia sahihi ya kutekeleza vyema kazi ya kanisa?

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp