Maneno ya Mungu ya Kila Siku

Maneno ya Mungu ya Kila Siku

Kitabu hiki kina vifungu vilivyoteuliwa kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili. Ili kwamba wateule wa Mungu waweze kupata ukweli na riziki ya kila siku ya uzima kutoka katika maneno Yake, maneno haya yaliyo bora kabisa ya Mwenyezi Mungu, ambayo yanaadilisha sana kwa kuingia kwa watu katika uzima, hapa yameteuliwa kwa njia maalumu ili watu wafurahie, na hivyo kuwaruhusu wale wanaopenda ukweli waweze kuuelewa, waweze kuishi mbele za Mungu, na kuokolewa na kukamilishwa na Mungu. Maneno haya yaliyo bora kabisa ya Mungu ni maonyesho ya ukweli; aidha, haya ndiyo kanuni zilizo bora kabisa zaidi za maisha, na hakuna maneno yanayowaadilisha na kuwanufaisha watu zaidi ya haya. Ukiweza kweli kufurahia kifungu kimoja cha maneno haya kila siku, basi hii ndiyo neema yako kubwa kabisa, na umebarikiwa na Mungu.

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp