Kipindi 05, Ripoti ya Moja kwa Moja Kuhusu Maisha ya Kanisa: Wakristo Katika Kanisa la Seoul Wakishiriki Yaliyowapata—Ni Kwa Kuelewa Ukweli Tu Unaweza Kufanya Maamuzi Sahihi

29/11/2025

Wakristo katika Kanisa la Mwenyezi Mungu jijini Seoul, Korea Kusini, wanaweza kusita, kuhisi udhaifu, na kupitia uchungu wanapokabiliwa na maamuzi. Lakini kwa kutafuta ukweli kwa dhati, walipata njia ya utendaji ya kutatua matatizo haya. Chini ya mwongozo wa maneno ya Mungu, walielewa ukweli, wakapata upambanuzi, wakafanya maamuzi sahihi, na wakawa imara zaidi na wenye imani kubwa zaidi.

00:10 Maelezo ya Mwenyeji

03:15 Mwanahabari Eneo la Tukio

04:37 Nyimbo na Densi za Sifa na Kuabudu

06:39 Kusoma Maneno ya Mwenyezi Mungu: "Ni Kristo wa Siku za Mwisho Pekee Ndiye Anayeweza Kumpa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele"

12:10 Ushuhuda wa Kupitia wa Lee Hyoshim

21:57 Kuimba Wimbo wa Sifa: "Ee Mungu, Tutakutamani Milele"

22:43 Ushuhuda wa Kupitia wa Kim Youngshim

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Leave a Reply

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp