Injili ya Ufalme Inanawiri: Kanisa la Mwenyezi Mungu Limeenea kwa Zaidi ya Nchi 120
Mnamo 1991, Mungu alianza rasmi kazi ya Enzi ya Ufalme na kuanzisha Kanisa la Mwenyezi Mungu. Tangu injili ya ufalme ilipoanza kuenea...
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Katika enzi ya leo ya teknolojia ya hali ya juu na wingi wa mali, watu wengi katika jamii, wakiwemo Wakristo, wanajikuta wakiishi katika dhambi, wasiweze kujinasua. Mioyo yao imejaa utupu uliokithiri, kuchanganyikiwa, na maumivu. Watu wanawezaje kuepuka utumwa wa dhambi, kujiepusha na utupu huu wa kiroho, na kumaliza kuchanganyikiwa kwao? Kupitia uzoefu wao wa vitendo, Wakristo kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu huko New York na Pennsylvania wanatoa jibu. Wamesikia matamko ya Roho Mtakatifu kwa makanisa, wamekaribisha kurudi kwa Bwana, na wameanza kuishi maisha ya kanisa ya enzi mpya. Riziki na mwongozo wa maneno ya Mungu vimelisha mioyo yao. Sasa, hawajapotea tena, wala hawafuatilii utupu na anasa za ulimwengu.
Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?
Mnamo 1991, Mungu alianza rasmi kazi ya Enzi ya Ufalme na kuanzisha Kanisa la Mwenyezi Mungu. Tangu injili ya ufalme ilipoanza kuenea...
Wakati wa mkutano wao, Wakristo kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu nchini Brazili waliimba nyimbo za sifa, walicheza, na kukariri maneno ya...