Kipindi 09, Ripoti Maalum Kuhusu Maisha ya Kanisa: "Sauti za Sifa" Ripoti Maalum ya Tamasha la maonyesho mbalimbali (Sehemu ya 2)
31/12/2025
Ripoti hii maalum inaangazia kipindi cha pili cha "Sauti za Sifa," tamasha la Siku ya Mwaka Mpya la 2026. Likiandaliwa na Kanisa la Mwenyezi Mungu, "Sauti za Sifa" ni tamasha kubwa linalowaleta pamoja Wakristo kutoka nchi za Ulaya, Oshenia, Afrika, Amerika, na Asia. Ripoti hii inaonyesha upitiaji halisi wa Wakristo wa Kanisa la Mwenyezi Mungu wakati wa maandalizi na ushiriki wao katika wimbo, densi, ushuhuda na maonyesho mengine. Nyuma ya kila onyesho, kuna ushuhuda mzuri wa watu wateule wa Mungu wakipitia kazi ya Mungu na kukua katika uzima.
00:09 Maelezo ya Mwenyeji
04:44 Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Kwaya Kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu lililo Marekani
09:36 Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Onyesho la Solo la "Moyo Mwaminifu kwa Mungu" Kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu lililo Marekani
11:11 Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Onyesho la Densi Kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu lililo India
14:08 Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Onyesho la Wimbo Kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu lililo Meksiko
16:28 Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Kwaya Kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu lililo Ufilipino
18:25 Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Ushuhuda wa Kupitia Kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu lililo Ufilipino
20:05 Vivutio vya Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Kanisa la Mwenyezi Mungu la Kanada, Taiwan, Thailand, na Venezuela
23:33 Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Wimbo wa Watu Wawili Kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu lililo Ecuador
26:11 Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Wimbo wa Solo Kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu lililo Korea Kusini
28:45 Mahojiano ya Nyuma ya Pazia: Onyesho la Densi ya Kichina ya Yangge