Kipindi 07, Ripoti ya Moja kwa Moja Kuhusu Maisha ya Kanisa: Ushuhuda wa Kupitia wa Wakristo Katika Kanisa la Ufilipino: Jinsi Hukumu ya Maneno ya Mungu Huwaweka Huru Kutoka kwa Minyororo ya Umaarufu, Faida, na Hadhi

06/01/2026

Wakristo katika Kanisa la Mwenyezi Mungu nchini Ufilipino wamesikia sauti ya Mungu na wamekuja mbele ya kiti Chake cha enzi kwa kujisalimisha. Wananunyiziwa, wanapewa riziki, na wanachungwa kibinafsi na Mwenyezi Mungu, na wamehudhuria karamu ya ufalme wa mbinguni. Wanakubali hukumu na utakaso wa maneno ya Mungu, na wamekuja kutambua kwamba tabia zao potovu ndicho chanzo kikuu cha dhambi zao na kwamba kufuatilia umaarufu, faida na hadhi ni njia isiyo sahihi. Wametubu kweli na wameanza kutekeleza wajibu wa kiumbe aliyeumbwa kwa njia ya kutenda mambo halisi. Wameona tumaini la kuokolewa.

00:26 Mambo Muhimu

00:57 Maelezo ya Mwenyeji

04:59 Mwanahabari Eneo la Tukio

06:33 Onyesho la Densi: "Furaha Iliyoje Katika Maisha ya Kanisa"

08:06 Kusoma Maneno ya Mwenyezi Mungu

15:23 Dada May Ashiriki Uzoefu Wake: Jinsi ya Kuwatendea Watu Walio Bora Kuliko Mimi

29:34 Wimbo wa Maneno ya Mungu: "Katika Enzi ya Ufalme Mungu Anakamilisha Mwanadamu Kwa Maneno"

30:26 Dada Noe Ashiriki Uzoefu Wake: Kutoka Kujizuia Hadi Kujitolea Kikamilifu, Sitafuti Tena Kuwa Mtu Pekee Anayeng'aa

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp