Kipindi 13, Ripoti ya Moja kwa Moja Kuhusu Maisha ya Kanisa: Shuhuda za Kupitia Kutoka Kanisa Moja Mashariki ya Kenya: Ipo Njia ya Kutakaswa Dhambi

18/02/2026

Wakristo kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu nchini Kenya wamekubali hukumu na kuadibu kwa maneno ya Mwenyezi Mungu. Wamekuja kujua tabia zao wenyewe potovu na chanzo cha kutenda kwao dhambi, na pia wamepata maarifa fulani ya kweli ya kazi ya Mungu na tabia Yake. Wanajinasua polepole kutoka katika utumwa wa asili yao ya dhambi na wameanza kuitembea njia ya kufuatilia ukweli ili waokolewe na kuingia katika ufalme wa mbinguni.

00:27 Mambo Muhimu

00:56 Maelezo ya Mwenyeji

03:25 Mwanahabari Eneo la Tukio

04:20 Wimbo wa Kanisa: "Upendo wa Mungu Hutuleta Karibu Zaidi Pamoja"

05:39 Kusoma Maneno ya Mwenyezi Mungu

10:08 Kufanya Ushirika Kuhusu Uelewa wa Maneno ya Mungu

13:36 Kuimba Wimbo wa Maneno ya Mungu: "Niko Tayari Kutumia Maisha Yangu Pamoja na Hukumu na Kuadibu kwa Mungu"

15:33 Ndugu Edwin Ashiriki Uzoefu Wake: Safari Yangu Ya Kuacha Kufuatilia Umaarufu Na Faida

27:27 Dada Mary Ashiriki Uzoefu Wake: Niliona Kwamba Nilikuwa Mwenye Ubinafsi Sana

39:10 Onyesho la Densi: "Ufalme wa Kristo Umetokea"

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Leave a Reply

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp