Kipindi 06, Ripoti ya Moja kwa Moja Kuhusu Maisha ya Kanisa: Uzoefu wa Wakristo Kanisani Huko Ufaransa: Masharti ya Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni

24/12/2025

Kanisa la Mwenyezi Mungu huko Ufaransa wamepata njia ya utendaji ya kuwa watu waaminifu kulingana na maneno ya Mungu. Ingawa wanakumbana na vikwazo na kushindwa katika mchakato wa kuwa watu waaminifu, hawakati tamaa. Badala yake, wanatafuta ukweli kwa bidii. Chini ya mwongozo wa maneno ya Mwenyezi Mungu, wanakuja kujijua, wanatubu kwa Mungu, na kutenda kulingana na mahitaji Yake. Wanaanza na sentensi moja, na kitendo kimoja kidogo, na hatimaye kuweza kujiweka wazi na kuzungumza kwa dhati. Wanasema uongo na kudanganya kwa kiasi kidogo, na wanakuwa na mfano wa mtu mwaminifu zaidi na zaidi. Pia wameonja amani na furaha inayotokana na kuwa mtu mwaminifu, na wamejawa na imani na matumaini ya kuokolewa na kuingia katika ufalme wa mbinguni.

00:27 Mambo Muhimu

01:07 Maelezo ya Mwenyeji

06:49 Mwanahabari Eneo la Tukio

08:23 Wimbo na Densi ya Sifa

10:23 Kutazama Makala Kubwa ya Filamu ya Hali Halisi ya Muziki: Yule Anayeshikilia Ukuu juu ya Kila kitu

11:58 Kusoma Maneno ya Mwenyezi Mungu

17:51 Ndugu Mathieu Ashiriki Uzoefu Wake: Njia Nne za Utendaji za Kutupa Mbali Unafiki na Kuwa Mtu Mwaminifu

29:33 Dada Jessie Ashiriki Uzoefu Wake: Maneno ya Mwenyezi Mungu Yameniongoza Kupata Mwelekeo Wangu Maishani

36:33 Dada Elina Ashiriki Uzoefu Wake: Ni Watu Waaminifu Pekee Ndio Wanaompendeza Mungu

43:57 Kuimba Wimbo wa Maneno ya Mungu: "Mungu Anatamani Wanadamu Watafuatilia Ukweli na Waendekee Kuishi"

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp