Injili ya Ufalme Inanawiri: Kanisa la Mwenyezi Mungu Limeenea kwa Zaidi ya Nchi 120
Mnamo 1991, Mungu alianza rasmi kazi ya Enzi ya Ufalme na kuanzisha Kanisa la Mwenyezi Mungu. Tangu injili ya ufalme ilipoanza kuenea...
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Wakati wa mkutano wao, Wakristo kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu nchini Brazili waliimba nyimbo za sifa, walicheza, na kukariri maneno ya Mungu, wakionyesha shukrani na sifa zao kwa Mwenyezi Mungu. Walishiriki uzoefu wao wa jinsi walivyotegemea maneno ya Mungu kushinda magumu mbalimbali—kama vile kuchanganyikiwa katika imani yao, matatizo ya familia, na magonjwa ya wapendwa wao—na walihisi kikweli nguvu ambayo maneno ya Mungu yaliwapa. Wakristo waliohudhuria wote waliguswa na uzoefu huu wa kweli. Kila mtu alihisi amepata kitu, na walifurahia neema na furaha ya maisha ya kanisa ya Enzi ya Ufalme.
Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?
Mnamo 1991, Mungu alianza rasmi kazi ya Enzi ya Ufalme na kuanzisha Kanisa la Mwenyezi Mungu. Tangu injili ya ufalme ilipoanza kuenea...
Katika enzi ya leo ya teknolojia ya hali ya juu na wingi wa mali, watu wengi katika jamii, wakiwemo Wakristo, wanajikuta wakiishi katika...