Kipindi 01, Ukweli Kuhusu Mateso ya Kikatili ya CCP Dhidi ya Wakristo: Rekodi ya Ukweli ya Mateso ya Kikatili ya CCP Dhidi ya Wakristo (Sehemu ya 1)

28/11/2025

CCP, chama cha Kimaksi kinachomkana Mungu, kimetawala kwa zaidi ya miaka 70. Katika kipindi hiki, kila kiongozi wa chama ameitesa imani ya kidini bila kuchoka, na itikadi hii imesalia kuwa thabiti sana. Wao hutunga sera za kikatili kila mara na kutoa nyaraka zisizohesabika za siri. Wanatawala vyombo vya dola ili kutekeleza sera ya serikali kuu ya kuangamiza imani ya kidini. Hii imesababisha mauaji na mateso ya mamilioni ya waumini wa dini.

00:16 Zaidi ya Miaka Sabini ya Ukatili wa CCP: Kumbukumbu ya Kikristo ya Damu na Machozi

02:15 I. Enzi ya Mao Zedong: Kuanzisha Vuguvugu la Kizalendo la Misingi Mitatu na Kusafisha Vikundi Vyote vya Kidini

07:01 II. Enzi ya Deng Xiaoping: Mageuzi na Kufungua Nchi Pamoja na Mateso ya Kidini

10:54 III. Enzi ya Jiang Zemin: Kutoa Hati Nambari 50, Kuanzisha Ofisi ya 610, na Kupeleka Mradi wa 807

13:37 IV. Enzi ya Hu Jintao: Kuendeleza na Kuzidisha Sera za Kidini za Jiang Zemin

14:30 1. Janga la SARS: Mateso Yasiyokoma ya Imani ya Kidini Yanaendelea

15:16 2. Kutekeleza "Kanuni za Masuala ya Kidini" na Kutunga Mashtaka Mapya ya "Itikadi Kali za Kidini" na "Kuvuruga Utulivu wa Umma"

17:47 3. Mradi wa Ngao ya Dhahabu: Makundi ya Kidini na Wapinzani Wakumbana na Balaa Isiyo na Kifani

25:41 V. Enzi ya Xi Jinping: "Ndoto ya Kichina" ya Xi Jinping

26:17 1. Kufufua na Kuboresha "Mbinu ya Fengqiao" ya Enzi ya Mao na Sera za "Adhabu ya Pamoja"

30:13 2. Kutunga Kesi ya Zhaoyuan ili Kutumia Vibaya Maoni ya Umma na Kumtengeneza "Adui wa Umma"

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp