703 Kubadili Tabia Yako Kunaanza na Kuelewa Asili Yako

1 Unaanzia wapi katika kugeuza tabia yako? Huanza na kufahamu asili yako mwenyewe. Hili ndilo muhimu. Mnaelewa vipi asili ya mwanadamu? Kuifahamu asili yako kunamaanisha kugawanya vina vya nafsi yako kwa kweli; kunahusu kile kilicho katika maisha yako. Ni mantiki ya Shetani na mitazamo ya Shetani ambayo umekuwa ukiishi kulingana nayo; yaani, ni maisha ya Shetani ambayo umekuwa ukiishi kulingana nayo. Ni kwa kufukua tu sehemu za kina kabisa za nafsi yako ndio unaweza kuifahamu asili yako. Kwa mfano, mitazamo ya watu kuhusu vitu, mbinu na malengo ya watu katika maisha, maadili ya maisha na mitazamo kuhusu maisha ya watu, pamoja na mitazamo kuhusu vitu vyote vinavyohusiana na ukweli. Hivi ni vitu vyote vilivyo ndani kabisa ya nafsi za watu na vina uhusiano wa moja kwa moja na mgeuzo wa tabia.

2 Je, basi mtamzamo wa Maisha kuhusu mtu aliye na nafsi potovu ni upi? Inaweza kusemw kuwa hili: “Kila mwamba ngoma huvutia upande wake.” Watu wote wanaishi kwa ajili yao wenyewe; kuiweka wazi zaidi, wanaishi kwa ajili ya mwili. Hakuna thamani yoyote katika kuishi namna hii, sembuse kuwepo maana yoyote. Mtazamo wa maisha ya mtu unahusu kile unachotegemea kuishi duniani, kile unachokiishia, na jinsi unavyoishi—na haya yote ni mambo yanayohusiana na kiini cha asili ya wanadamu. Kwa kugawanya asili za watu, utaona kwamba watu wote wanampinga Mungu. Wote ni mashetani na hakuna mtu mzuri kwa kweli. Ni kwa kuchangua tu asili za watu tu ndio unaweza kujua kweli dutu na upotovu wa mwanadamu na kufahamu watu wanamilikiwa na nini hasa, kile watu wanakosa kweli, kile wanapaswa kujizatiti nacho, na jinsi wanapaswa kuishi kwa kudhihirisha mfano wa binadamu.

Umetoholewa kutoka katika “Unachopaswa Kujua Kuhusu Kuigeuza Tabia Yako” katika Kumbukumbu za Hotuba za Kristo

Iliyotangulia: 702 Mabadiliko Katika Tabia Yanahitaji Kazi ya Roho Mtakatifu

Inayofuata: 704 Kuijua Asili Yako Mwenyewe ni Muhimu kwa Badiliko Katika Tabia

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp