181 Nimeamua Mumfuata Mungu

1

Nimemwamwini Mungu wakati huu wote na hatimaye nimeuona mwanga. Nimeitembea njia yenye mabonde ya mateso na taabu.

Kukimbia kwangu kunaleta mateso yasiyokoma, bila mahali pa kupumzisha kichwa changu. Ni usiku ngapi ambazo nimeshinda katika maombi, nisiweze kulala?

Dunia imenitelekeza, wapendwa wananikwepa. Katika matamu na machungu, nimelia machozi mengi.

Nina uhuru kwa jina tu. Na kuhusu haki za binadamu je? Jinsi gani ninavyomchukia Shetani na kumtamani Kristo achukue mamlaka!

Giza na uovu wa dunia hii vinanisukuma nitafute mwanga wa uzima zaidi.

Kristo ndiye ukweli, njia, uzima, na nitamfuata Yeye mpaka mwisho.

2

Mungu alimpiga chini mchungaji, tunapitia dhiki. Mawingu meusi yananing’nia, hofu imetanda hewani.

Mara kadhaa nilianguka katika pango la chui na nikanusurika kutoka kwa kinywa cha mauti. Maneno ya Mungu yaliniliwaza, yakiupa moyo wangu nguvu.

Baada ya kupitia mateso mengi, najua kwa kina kupendeza kwa Mungu. Mungu anatawala juu ya yote, lakini imani ya mwanadamu ni ya kusikitisha.

Kupitia katika moto wa mateso watu wanapata faida kubwa. Namng’amua Shetani, na kulichukia joka kuu jekundu zaidi!

Joka kuu jekundu la chini na katili limepotosha na kuzila roho nyingi.

Kupata ukweli na maisha si jambo rahisi, ni lazima niongeze tena upendo wangu kwa Mungu maradufu na kuutiliza moyo wa Mungu.

3

Nikikumbuka kazi ya Mungu, nahisi jinsi Alivyo mwenye upendo kwangu. Kwa kukubali hukumu ya Mungu, tabia yangu imebadilika.

Taabu ya kuadibu na usafishaji huleta ufahamu wa kina wa Mungu. Kumwamini Mwenyezi Mungu hakika ni jambo tukufu.

Kuhubiri na kuwa na ushuhuda kwa Mungu, moyo wangu una amani. Licha ya ugumu kutekeleza wajibu wangu kwa uaminifu ni jambo la furaha.

Maisha ni mafupi, na kumpenda Mungu ndiyo furaha kuu zaidi. Kuweza kumtumikia Mungu, moyo wangu unaridhika!

Mwenyezi Mungu ameniokoa, na kunipa maisha ya kweli.

Ndoto yangu kuu imetimia, na nitaendelea kufika kesho.

Iliyotangulia: 180 Ninaahidi Maisha Yangu Kumfuata Mungu Kwa Uaminifu

Inayofuata: 182 Watakatifu Ni Washindi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp