294 Wewe Tu Unaweza Kuniokoa Mimi

1

Mnyenyekevu na Uliyejificha, Wewe unaambatana na watu katika matatizo yao,

Ukiwapa njia ya uzima wa milele.

Unawapenda binadamu kama mwili Wako mwenyewe.

Na Unastahili upendo wao.

Hukumu na kuadibu Kwako ni kwa ajili ya wokovu wa mwanadamu.

Na Unanyesha uzima juu yao.

Moyo Wako kwa kweli unapendeza,

Wewe ni mwenye haki sana na Unastahili sifa ya mwanadamu.

Maneno Yako yananishinda. hukumu Yako inanitakasa mimi.

Ni Wewe pekee Unayeweza kuniokoa mimi.

Unanipogoa na kunishugulikia, kunijaribu na kuniboresha mimi.

Ni Wewe tu Unayeweza kunikamilisha. Ni Wewe tu.

2

Maneno Yako hunibeba katika njia ya dhiki,

na ninaonja utamu.

Unahurumia udhaifu wa wanadamu na kuwapa maneno Yako.

Mwanadamu angewezaje kukusahau Wewe?

Unaishi na watu na kuwaongoza binafsi (binafsi),

ukiwapa kitu cha kutegemea (kitu cha kutegemea).

Unateseka kwanza, ukiwa mfano kamili.

Na Wewe ni mwaminifu na wa kupendeza.

Maneno Yako yananishinda. hukumu Yako inanitakasa mimi.

Ni Wewe pekee Unayeweza kuniokoa mimi.

Unanipogoa na kunishugulikia, kunijaribu na kuniboresha mimi.

Ni Wewe tu Unayeweza kunikamilisha. Ni Wewe tu.

3

Upendo Wako ni wa thamani. Upendo Wako unapendeza zaidi.

Umeacha hisia Zako za kweli kati ya mwanadamu.

Ningekuamini lakini nisikupende na kupata kibali Chako,

ningeishi maisha yangu nikijuta.

Ikiwa ningekuamini Wewe lakini nisiwe mwaminifu, basi ningekuwaje mwanadamu?

(Hah ... hah ... hah ... hah ...)

Maneno Yako yananishinda. hukumu Yako inanitakasa mimi.

Ni Wewe pekee Unayeweza kuniokoa mimi.

Unanipogoa na kunishugulikia, kunijaribu na kuniboresha mimi.

Ni Wewe tu Unayeweza kunikamilisha. Ni Wewe tu.

Upendo Wako ni wa thamani. Upendo Wako unapendeza zaidi.

Umeacha hisia Zako za kweli kati ya mwanadamu.

Ni Wewe pekee Unayeweza kuniokoa mimi. Ni Wewe tu Unayeweza kunikamilisha. Ni Wewe tu.

Iliyotangulia: 293 Mungu Pekee Ndiye Bora Zaidi

Inayofuata: 295 Kutafuta Wandani

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp