137 Nitampenda Mungu Milele

1

Ee Mungu! Maneno Yako yananiita nirudi Kwako.

Nakubali kufundishwa katika ufalme Wako mchana na usiku.

Mara nyingi sana nilikuwa dhaifu na hasi, maneno Yako yaliniliwaza na kunisaidia.

Mara nyingi sana nilianguka katika majaribu, Uliniokoa na kunielekeza kwa njia ya ajabu.

Na mara nyingi sana nilifuatiliwa na kuteswa na CCP,

ni Wewe kunipa nguvu kubwa ambako kulinihifadhi kwa siri.

Uliniongoza kupita katika taabu na hatari nyingi. Ulikuwa mwenzi wangu katika dhiki na hatari nyingi.

Sasa najua kuwa Umenipenda.

2

Ee Mungu! Kupitia hukumu nimeuona upendo Wako wa kweli.

Nimeiona tabia Yako yenye haki kweli ni ya kupendeza zaidi.

Mara nyingi sana nilifanya kazi kwa ajili ya hadhi tu, Ulinipogoa na kunishughulikia.

Mara nyingi sana nilikuwa mwenye kiburi na majivuno, Ulinifundisha nidhamu na kunipiga.

Kupitia majaribu na usafishaji nimejifunza kukutii Wewe.

Kukua katika neno Lengo, naishi kwa kudhihirisha mfano wa binadamu.

Nitakupenda Wewe kwa wakati wote. Ikiwa nitabarikiwa ama kulaaniwa.

Nitafurahia kuwa chini ya huruma Yako.

Nitakupa upendo wa kweli, na sitakufanya Ungoje.

Nitakupa upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu.

Nitakupa upendo wangu wote, na Wewe upate upendo wangu.

Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha ni tamanio langu.

Iliyotangulia: 136 Natamani Ningekuwa na Mungu Kila Siku

Inayofuata: 138 Popote Uendapo Nitaambatana na Wewe

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp