129 Siwezi Kusema Yote Yaliyo Moyoni Mwangu

1

Niliisikia sauti Yako na nilifurahia kukutana na Wewe.

Nimefurahia utajiri wa maneno Yako.

Moyo Wako hakika ni mzuri sana, upendo Wako unanivutia.

Kile Ulicho nacho na kile Ulicho, ni vya thamani sana kwangu.

Siwezi kuelezea, hakuna maneno:

Jinsi gani anavyopendeza Mwenyezi Mungu!

Upendo Wako ni mwenzi wangu.

Mwongozo na ruzuku ya maneno Yako vimeniruhusu kukua katika maisha polepole.

Unasafisha na kunitakasa.

Katika kuteseka hukumu, ninaonja utamu ulio ndani.

2

Nikiwa nimepitia dhiki, nimeshikana na Wewe zaidi.

Ni hukumu na kuadibu Kwako ambavyo hutakasa upotovu wangu.

Kupitia ugumu na usafishaji nimejifunza kutii.

Sio tena baridi au mwasi, sasa ninajua mapenzi Yako.

Neno Lako tu ndilo ukweli na linaweza kumpa mwanadamu uzima.

Moyo Wako ndio mwema kuliko yote, Unatoa Chako chote kumwokoa mwanadamu.

Katika upendo Wako wa kweli kwangu, siwezi kusema yote yaliyo moyoni mwangu.

Nikiwa nimetakaswa, mimi ni Wako, nami nitakupenda milele!

Siwezi kusema yote yaliyo moyoni mwangu, naweza kusema kuhusu upendo Wako bila kukoma.

Nataka kutekeleza wajibu wangu na kukushuhudia, nitakupenda milele.

Iliyotangulia: 128 Nampenda Mungu Sana

Inayofuata: 130 Neema ya Mungu ni ya Kina Kama Bahari

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp