552 Unaweza Kuokolewa Usipokata Tamaa juu ya Ukweli

1 Pasipo mtu kutazama matatizo yake inavyotakiwa, itaathiri ufahamu wake kumhusu Mungu. Wengine hugundua ubora wao wa tabia ni duni, au dhambi kubwa hutekelezwa. Kisha wanajikatia tamaa, wanapoteza matumaini, wasitake kuteseka kwa sababu ya ukweli. Hawatafuti kubadilisha tabia yao, wakifikiri kuwa hawajawahi kubadilika. Kwa kweli watu wengine wamebadilika, lakini wao wenyewe hawaoni hilo kabisa. Wao huangalia tu matatizo yao, na kupoteza radhi ya kushirikiana na Mungu. Hii itachelewesha kuingia kwao kwa kawaida, itaongeza mawazo yao yasiyo sahihi kumhusu Mungu. Zaidi ya hayo ina athari katika hatima yao.

2 Wanapokuwa dhaifu, watafutaji wa ukweli bado hufanya wajibu kwa uaminifu, bila kufikiria majaliwa yao. Naona mabadiliko; na ukiangalia kwa makini, utatambua kuwa sehemu ya upotovu wako imebadilika. Lakini unapotumia viwango vya juu zaidi kupima kukua kwako, licha ya kushindwa kufikia viwango hivyo vya juu, pia utakana mabadiliko ambayo umefanya—hilo ni kosa la kibinadamu.

3 Ikiwa kwa kweli unaweza kutofautisha mema na mbaya, basi chunguza mabadiliko yaliyomo ndani yako. Licha ya kuona mabadiliko yako mwenyewe, utapata njia ya kutendwa pia. Utang’amua kwamba mradi utie bidii, kuna tumaini la kuokolewa hata hivyo. Hivi sasa, Nakuambia: Wale wanaoshughulikia matatizo yao inavyotakiwa wana matumaini, na watatoka kwenye hali zao hasi. Jione kwa usahihi, usitelekeze ukweli. Umetoholewa kutoka katika katika Kumbukumbu za Maongezi ya Kristo

Umetoholewa Kumbukumbu za Hotuba za Kristo

Iliyotangulia: 551 Azimio Linalohitajika ili Kufuatilia Ukweli

Inayofuata: 553 Mungu Hatawaacha Wale Wanaomtamani Kwa Kweli

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp