743 Ni Wale Tu Wamchao Mungu Ambao Huishi Kwa Heshima

Ikiwa huna moyo umchao na kumtii Mungu,

ikiwa huelewi ukweli, na unapotenda,

unachanganyikiwa na hujui kanuni za ukweli,

huna heshima.

Ishi kwa heshima, ishi kwa uadilifu,

na uwe na moyo umchao Mungu.

Ishi kwa heshima, ishi kwa uadilifu,

na uwe na moyo unaomtii Mungu.

Mahubiri ya juu sana ambayo umeyasikia na mafundisho unayojua,

ufahamu ulio nao, havitakuwa na maana hata kidogo.

Lazima urejee kwa yale yenye maana sana.

Lazima ufuatilie ukweli.

Ishi kwa heshima, ishi kwa uadilifu,

na uwe na moyo umchao Mungu.

Ishi kwa heshima, ishi kwa uadilifu,

na uwe na moyo unaomtii Mungu.

Fuatilia ukweli, tii na uogope.

Hili ni la msingi, ya kwanza kabisa!

Ishi kwa heshima, ishi kwa uadilifu,

na uwe na moyo umchao Mungu.

Ishi kwa heshima, ishi kwa uadilifu,

na uwe na moyo umchao Mungu.

Ishi kwa heshima, ishi kwa uadilifu,

na uwe na moyo unaomtii Mungu.

Umetoholewa kutoka katika katika Kumbukumbu za Maongezi ya Kristo

Iliyotangulia: 742 Ni Wale tu Wanaomcha Mungu Ndio Wenye Furaha

Inayofuata: 744 Ushahidi wa Ushindi wa Ayubu Dhidi ya Shetani

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp