109 Maisha ya Mwanadamu Mpya

1

Tuliisikia sauti ya Mungu na tukainuliwa mbele Yake.

Kwa kusoma maneno ya Mungu, kuelewa ukweli, mioyo yetu inakuwa wazi na macho yetu yanaangaza.

Fikira zetu na kutoelewa vinatoweka, tuko uso kwa uso na Mungu.

tunamwona Mungu wa vitendo.

Kwa kutenda ukweli, kutekeleza wajibu wetu, tunaanza maisha mapya.

Kwa kupendana na kusaidiana, hakika tutabarikiwa na Mungu.

Tunatoa mioyo yetu mbele ya Mungu na kukubali uchunguzi Wake.

Waaminifu na kumcha kupitia mapenzi Yake.

Kwa kupitia maneno ya Mungu

na kupata uzima, tunaishi katika nuru.

Kwa kutekeleza wajibu wa mwanadamu kwa uaminifu, tunahisi furaha halisi.

Kwa kutii mipango yote ya Mungu,

tunaona hali ya ajabu ya Mungu.

Mioyo yetu inaweza kumpenda Mungu na tuna furaha,

haya ni maisha ya mwanadamu mpya.

2

Tunafanya vitu vyote kwa kanuni za ukweli, tunamtumikia Mungu kwa kweli.

Tunampenda Mungu kwa kimya na mioyo yetu na tunajali matamanio ya moyo Wake.

Tunaishi kulingana na ukweli wa maneno ya Mungu na mioyo yetu imewekwa huru.

Tunatii kikamilifu mipangilio ya Mungu, tumepata idhini Yake.

Zaidi ya hukumu ya Mungu tunayopitia,

ndivyo tunavyohisi uzuri wa Mungu zaidi.

Tabia yetu potovu imebadilika,

na hatuwezi kumpenda Mungu vya kutosha.

Tukiwa na ukweli kama maisha yetu,

tunapata mfanano wa binadamu.

Kupata ukweli si rahisi;

baada ya maumivu unakuja utamu.

Kwa kupitia maneno ya Mungu

na kupata uzima, tunaishi katika nuru.

Kwa kutekeleza wajibu wa mwanadamu kwa uaminifu, tunahisi furaha halisi.

Kwa kutii mipango yote ya Mungu,

tunaona hali ya ajabu ya Mungu.

Mioyo yetu inaweza kumpenda Mungu na tuna furaha,

haya ni maisha ya mwanadamu mpya.

Tunakuwa na ushuhuda kupitia mateso na dhiki,

sisi ni askari wema wa Kristo.

Tunateseka kwa ajili ya ukweli

na tunaishi maisha yenye maana.

Taabu, usafishaji na mateso

ndiyo njia ya kuwakamilisha wenye haki.

Tutamfuata daima na kumshuhudia Mungu,

tunaishi kulingana na maisha ya kweli ya binadamu.

Kwa kupitia maneno ya Mungu

na kupata uzima, tunaishi katika nuru.

Kwa kutekeleza wajibu wa mwanadamu kwa uaminifu, tunahisi furaha halisi.

Kwa kutii mipango yote ya Mungu,

tunaona hali ya ajabu ya Mungu.

Mioyo yetu inaweza kumpenda Mungu na tuna furaha,

haya ni maisha ya mwanadamu mpya.

Iliyotangulia: 108 Imani Katika Mungu ni ya Furaha Kweli

Inayofuata: 110 Kutembea kwenye Njia Sahihi ya Maisha ya Binadamu

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp