112 Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa

1

Nilitaka kulia lakini hakuna mahali palihisi sawa.

Nilitaka kuimba lakini hakuna wimbo ulipatikana.

Nilitaka kuonyesha upendo wa kiumbe aliyeumbwa.

Nikitafuta juu na chini, lakini hakuna maneno yangeweza kusema, yangeweza kusema jinsi hasa ninavyohisi.

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu.

Nainua mikono yangu kwa sifa, ninafurahia kwamba Ulikuja katika dunia hii.

2

Mwanadamu alitoka mavumbini, na Mungu akampa uhai.

Shetani alishuka chini kuwapotosha wanadamu.

Ubinadamu na mantiki yao yamepotea.

Kizazi baada ya kizazi, kimeanguka tangu siku hiyo.

Lakini Wewe ni … Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu.

Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kuabudu?

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu.

Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

3

Mungu alimuumba mwanadamu na anampenda sana, kiasi kwamba Alipata mwili tena,

Alistahimili mazuri na mabaya, taabu na huzuni,

Akituokoa na kutuleta mahali pazuri.

Tutakushukuru Wewe daima.

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu.

Mpotovu, lakini Wewe umeniokoa! Ninawezaje kukosa kuabudu?

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu.

Mpotovu, lakini Wewe umeniokoa! Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Ninawezaje kukosa kukuabudu? Ninawezaje kukosa kukuabudu?

4

Aliyeumbwa anapaswa kumwabudu Mungu, kwa kuwa huu ni wajibu wake wa lazima,

Shetani hutabasamu na kunibariki kwa faraja, lakini nina kinyongo naye na kumchukia.

Afadhali niishi katika hukumu na adabu ya Mungu kumpenda Yeye,

nisitamani tena anasa za mwili, nisiishi tena chini ya ushawishi wa Shetani.

Mungu wa vitendo wa kweli, Wewe ndio upendo ndani ya moyo wangu,

Natoka mavumbini, kukupenda ni baraka yangu kubwa zaidi katika maisha.

Mungu wa vitendo wa kweli, Wewe ndio upendo ndani ya moyo wangu,

Natoka mavumbini, kukupenda ni baraka yangu kubwa zaidi katika maisha.

Iliyotangulia: 111 Natembea Katika Njia ya Kwenda kwa Ufalme

Inayofuata: 113 Nitalithamini Neno La Mungu

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp