117 Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu

1

Safi na mwaminifu, kama mtoto bila hatia,

mchangamfu na mwenye nguvu za ujana,

wanampenda Mungu pekee, huru kutoka kwa mwili, kama malaika wanaokuja ulimwenguni.

Bila udanganyifu, na mioyo iliyo wazi tu, wao ni waadilifu.

Wanatoa mioyo yao kwa Mungu na kupata imani Yake.

Wao ni watu waaminifu ambao Mungu anapenda.

Kuacha maneno ya Mungu yatuongoze kila siku,

tumebarikiwa na Roho Mtakatifu anatuongoza.

Tunakubali uchunguzi wa Mungu, tunaishi mbele Yake.

Kumpenda Mungu kweli ni kuwa na furaha.

Watu waaminifu wanapata wokovu wa Mungu na kuingia katika ufalme,

wataishi pamoja na Mungu milele.

Ufalme wa Kristo ni mbinguni kwa watu waaminifu.

Na ni nyumbani kwao kuzuri.

2

Wale wanaopenda ukweli wote wana mioyo ya uaminifu na hakika watabarikiwa na Mungu.

Tunafurahia kutenda ukweli.

Kwa kumtii Mungu mioyo yetu ina amani.

Tunamcha Mungu na kuepuka uovu, kuishi kwa maneno ya Mungu.

Tukiishi katika maneno ya Mungu tumewekwa huru.

Kumpenda Mungu ni kuwa na furaha kamili.

Kuacha maneno ya Mungu yatuongoze kila siku,

tumebarikiwa na Roho Mtakatifu anatuongoza.

Tunakubali uchunguzi wa Mungu, tunaishi mbele Yake.

Kumpenda Mungu kweli ni kuwa na furaha.

Watu waaminifu wanapata wokovu wa Mungu na kuingia katika ufalme,

wataishi pamoja na Mungu milele.

Ufalme wa Kristo ni mbinguni kwa watu waaminifu.

Na ni nyumbani kwao kuzuri.

3

Hukumu na kuadibu kwa Mungu vimenitakasa, nimekuwa mtu mwaminifu anayempendeza Mungu.

Najitumia kwa ajili ya Mungu na siulizi malipo, nayafikiria mapenzi ya Mungu kwa moyo na roho.

Kumpenda Mungu huleta amani na furaha.

Tunaishi kwa urahisi tunapotenda kwa maneno ya Mungu.

Ni Mungu na ukweli pekee vilivyo moyoni mwetu.

Maneno ya Mungu yamekuwa maisha yetu yote.

Kuacha maneno ya Mungu yatuongoze kila siku,

tumebarikiwa na Roho Mtakatifu anatuongoza.

Tunakubali uchunguzi wa Mungu, tunaishi mbele Yake.

Kumpenda Mungu kweli ni kuwa na furaha.

Watu waaminifu wanapata wokovu wa Mungu na kuingia katika ufalme,

wataishi pamoja na Mungu milele.

Ufalme wa Kristo ni mbinguni kwa watu waaminifu.

Na ni nyumbani kwao kuzuri.

Iliyotangulia: 116 Ni Watu Waaminifu Pekee Walio na Mfano wa Binadamu

Inayofuata: 118 Watu wa Ufalme wa Mbingu

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp