8 Ufalme wa Kristo Umeshuka Duniani

1

Ufalme wa Kristo Umeshuka Duniani,

Neno la Mungu limetawala duniani.

Tunaweza kuliona lote kwa macho yetu wenyewe,

vyote vimewezekana kwa neno la Mungu.

Yerusalemu mpya umeshuka kutoka juu mbinguni,

ufalme wa Kristo tayari uko duniani.

Neno la Mungu liko kati yetu, linaishi kati yetu,

liko pamoja nasi katika kila hatua na mawazo yetu.

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea ufalme wa Kristo duniani.

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea neno la Mungu linatawala duniani.

2

Mungu wa kweli wa milele Mwenye uweza,

neno Lako limeonekana katika mwili, ni hai kwa wote kuona.

Neno Lako katika enzi zote linatimia,

kutimizwa, moja baada ya lingine.

Mwenyezi Mungu wa kweli, maneno Yako yanatawala duniani,

Neno Lako limeonyesha ushawishi wake, mamlaka yake.

Yanayotiririka daima kuiruzuku mioyo ya watu.

Maneno Yako ni chemichemi ya maji yaishiyo ya uzima.

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea ufalme wa Kristo duniani.

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea neno la Mungu linatawala duniani.

Tumepitia hukumu ya Mungu, tumepitia kuadibu Kwake.

Tabia yetu potovu sasa imetakaswa.

Kwa Mungu tunatoa uchaji wetu,

kwa Mungu tunatoa utii wetu.

Tunaishi kwa kudhihirisha mfano wa mwanadamu halisi, tunamshukuru Mungu kwa wokovu wake.

Tukipiga magoti mbele Yake, milele tunamwabudu Yeye.

Tukiwa tumetakaswa, tumo mwangani, twapata upendo Wake.

milele tukiimba sifa zetu Kwake.

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea ufalme wa Kristo duniani.

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea neno la Mungu linatawala duniani.

3

Uzuri wa ufalme wa Mungu ni mkuu na wa milele.

Wote wanatangaza neno la Mungu,

wakitii neno Lake na kumwabudu Yeye.

Ulimwengu wote unagaagaa kwa furaha.

Tunasherehekea kwamba kazi Yake imefanywa,

kwamba Yeye ni mtakatifu, mwenye uweza, haki na hekima.

Mungu anatuongoza kuingia Kanaani Mwenyewe,

hivyo sisi pia tunaweza kufurahia utajiri Wake!

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea ufalme wa Kristo duniani.

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea neno la Mungu linatawala duniani.

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea ufalme wa Kristo duniani.

Tunashangilia! Tunasifu! Tunasherehekea neno la Mungu linatawala duniani,

neno la Mungu linatawala duniani.

Iliyotangulia: 7 Ufalme Mtakatifu Umeonekana

Inayofuata: 9 Ufalme Wenye Haki wa Kristo Umetimia

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp