758 Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu
1
Wale wanaompenda Mungu pekee ndio wanaoweza kumshuhudia Mungu,
kupokea baraka Zake na kupokea ahadi Zake.
Wale wanaopenda Mungu pekee ndio wasiri Wake, ndio watu wanaopendwa na Mungu
na wanaweza kushiriki pamoja katika baraka Zake.
Watu kama hao pekee ndio wanaweza kuishi milele.
Ni wao pekee ndio wataishi chini na utunzaji na ulinzi wa Mungu milele.
Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu.
Wale wanaompenda Mungu wanatembea wakiwa huru duniani.
Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu.
Mashahidi Wake wanatembea katika ulimwengu mzima.
Wamebarikiwa wale wanaopenda Mungu.
2
Wale wanaopenda Mungu kweli ni wale wanaoweza kumshuhudia Mungu
na ambao wanaweza kutoa kila kitu kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Wanaweza kutembea dunia bila wapinzani,
kutawala watu wote wa Mungu na kutawala duniani.
Watu kama hao ndio wanaopendwa na waliobarikiwa na Mungu.
Watu kama hao wataishi milele katika mwangaza wa Mungu.
Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu.
Wale wanaompenda Mungu wanatembea wakiwa huru duniani.
Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu.
Mashahidi Wake wanatembea katika ulimwengu mzima.
Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu.
3
Watu kama hao wanatoka kila mahali duniani,
na lugha na rangi ya ngozi tofauti,
lakini kwa sababu ya maana sawa ya maisha na upendo kwa Mungu,
wote wakiwa na ushahidi na malengo sawa.
Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu.
Wale wanaompenda Mungu wanatembea wakiwa huru duniani.
Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu.
Mashahidi Wake wanatembea katika ulimwengu mzima.
Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu.
Wale wanaompenda Mungu wanatembea wakiwa huru duniani.
Wamebarikiwa Wale Wanaompenda Mungu.
Mashahidi Wake wanatembea katika ulimwengu mzima.
Wamebarikiwa wale, wamebarikiwa wale wanaompenda Mungu.
Umetoholewa kutoka katika “Wanaompenda Mungu Wataishi Milele Katika Mwangaza Wake” katika Neno Laonekana katika Mwili