563 Kanuni za Msingi za Kutatua Asili ya Mtu

Kutatua asili ya mtu kunaanza na kuutelekeza mwili. Kuutelekeza mwili pia kunahitaji kanuni. Je, mtu anaweza kuutelekeza mwili kwa mtindo wa kipumbavu? Wakati utakapofika utakubali matakwa ya mwili. Kuna kanuni ambayo ni muhimu sana, ambayo ni kufikiria mara mbili kabla ya kutenda; ichunguze mbele ya Mungu. Zaidi ya hayo, kila jioni lazima uzichunguze hali zako mwenyewe. Hii ni kanuni moja. Chunguza tabia yako mwenyewe: matendo gani yalifanywa kulingana na ukweli na matendo gani yalikiuka kanuni. Hoja hizi mbili ndizo za muhimu sana! Moja ni kujichunguza wakati wa tendo na nyingine ni kujichunguza baada ya tendo. Kanuni ya tatu ni: Kuwa wazi kabisa na nini maana ya kuuweka ukweli katika matendo na kinachomaanishwa na kusema kushughulikia mambo kwa namna ya kufuata kanuni. Unapokuwa wazi kabisa kuhusu hili, utashughulikia mambo kwa usahihi. Kwa kufuata kanuni hizi tatu, basi utaweza kujizuia. Asili yako ya kwanza haitaweza kujifichua, haitaweza kujitokeza. Hii pia ni kanuni ya msingi ya kushughulikia asili ya binadamu.

Umetoholewa kutoka katika “Kutenda Ukweli na Kutatua Asili” katika Kumbukumbu za Hotuba za Kristo

Iliyotangulia: 562 Kujua Mawazo na Mitazamo Yenu Wenyewe ni Muhimu

Inayofuata: 564 Kujitafakari kwa Njia Hii ni Muhimu

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp