389 Binadamu Wote Wanapaswa Kumwabudu Mungu

Imani ya kweli katika Mungu si kuhusu kumwamini Yeye ili kuokolewa na hata zaidi si kuhusu kuwa mtu mzuri. Pia si kuhusu kumwamini Mungu tu kwa ajili ya kuwa na mfanano wa binadamu. Kwa kweli, watu hawapaswi kuona imani kama tu kusadiki kwamba kuna Mungu; si kwamba unapaswa kuamini tu kuwa Mungu ni ukweli, njia, uhai na hakuna zaidi. Wala si tu ili umkubali Mungu nakuamini kwamba Mungu ni Mtawala juu ya kila kitu, kwamba Mungu ni mwenyezi, kwamba Mungu aliumba vitu vyote katika dunia, kwamba Mungu ni wa kipekee na mkuu. Si kukufanya tu kuamini ukweli huu, mapenzi ya Mungu ni kwamba nafsi yako yote na moyo wako unapaswa kupewa Mungu na kumtii Mungu; yaani, unapaswa kumfuata Mungu, kumruhusu Mungu akutumie, kuwa mwenye furaha kumfanyia huduma, na kwamba unapaswa kufanya kitu chochote kwa ajili ya Mungu. Siyo kwamba wale tu walioamuliwa mwanzo na kuchaguliwa na Mungu wanapaswa kumuamini Yeye. Kwa kweli, wanadamu wote wanapaswa kumwabudu Mungu, kumsikiza Yeye na kumtii, kwa sababu binadamu waliumbwa na Mungu.

Umetoholewa kutoka katika “Ukimbizaji wa Ukweli Tu Ndiyo Imani ya Kweli katika Mungu” katika Kumbukumbu za Hotuba za Kristo

Iliyotangulia: 388 Kutenda Ukweli ni Muhimu Katika Kumwamini Mungu

Inayofuata: 390 Kanuni za Matendo kwa Waumini

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp