953 Tukio la Ghadhabu ya Mungu

Mungu anapoachilia ghadhabu Yake kuu, ulimwengu mzima utapitia maafa ya kila aina kama matokeo, kama vile volkano kufoka. Ninaposimama juu kabisa ya angani, inaweza kuonekana kuwa duniani, maafa ya aina mbalimbali yanawakaribia wanadamu wote, yakikaribia kila siku. Nikiangalia chini kutoka juu, dunia inaonyesha mandhari mbalimbali kama yale yanayotangulia tetemeko la ardhi. Moto unaotiririka unasonga bila kupingwa, lava inatiririka kwa uhuru, milima inasonga, na mwanga wa baridi unametameta juu ya kila kitu. Dunia nzima imezama katika moto. Haya ndiyo mandhari ya Mungu akitoa ghadhabu Yake, na pia ndio wakati wa hukumu Yake. Wale wote ambao ni wa damu na nyama hawataweza kutoroka. Hivyo, vita kati ya nchi na migogoro kati ya watu havitahitajika kuharibu ulimwengu mzima; badala yake, dunia “itafurahia yenyewe kwa kufahamu” katika chanzo cha kuadibu kwa Mungu. Hakuna mtu atakayeweza kuiepuka; kila mtu atapitia katika mateso haya.

Umetoholewa kutoka katika “Sura ya 18” ya Ufafanuzi wa Mafumbo ya Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima katika Neno Laonekana katika Mwili

Iliyotangulia: 952 Uasi wa Mwanadamu Unaibua Hasira ya Mungu

Inayofuata: 954 Maafa Yafikapo

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp