Wimbo wa Injili | Mwana wa Adamu Ameonekana | Sifu Kurudi kwa Yesu Mwokozi (Watoto Wanacheza Ngoma)

03/04/2019

Kutoka Mashariki ya ulimwengu (Mashariki ... Mashariki ...),

mwale wa mwanga unatokea (mwanga ... mwanga ...),

ukiangaza njia yote kwenda magharibi.

Mwana wa Adamu ameshuka duniani.

Mwokozi amerejea, Yeye ni Mwenyezi Mungu.

Akionyesha ukweli, Ameanzisha enzi mpya.

Mwana wa Adamu ameonekana. (Siyo?)

Mungu amekuja. (Eh!)

Yeye huwaletea binadamu njia ya uzima wa milele (njia ya uzima wa milele).

Mbingu mpya, dunia mpya, enzi mpya,

binadamu wapya, njia mpya, maisha mapya.

Yerusalemu mpya umeshuka duniani.

Tumerudi kwa familia ya Mungu na tunaishi maisha ya kanisa,

kila siku tukila na kunywa neno la Mungu, tukikua katika upendo Wake.

Wewe kuja na uimbe! (Sawa!)

Nitacheza ngoma! (Ngoma!)

Maisha yetu ni ya furaha kweli (furaha kweli).

Tuko katika uwepo wa Mungu. (Tunaufurahia kweli.)

Tuna baraka za Mungu. (Tuna furaha sana.)

Ufalme wa Kristo ni nyumba kunjufu.

Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, mpendwa wetu apendezaye.

Kila mstari Anenao ni ukweli, utunyinyiziao.

Anatufundisha jinsi ya kutenda, jinsi ya kuwa waaminifu.

Tukiishi kati ya baraka za Mungu, tunampenda Mungu kwa moyo wetu wote.

Hukumu ya neno la Mungu inaishinda mioyo ya watu wote.

Wakiwa wametakaswa, watu wa Mungu humtolea ushuhuda.

Hebu tuwe wenye akili moja (tukitimiza wajibu wetu),

tukilipiza upendo wa Mungu (kuwa na ushuhuda kwa Mungu),

tukieneza injili ya Ufalme wa Mungu (injili ya Ufalme wa Mungu).

Neno la Mungu linaenea duniani kote.

Jina takatifu la Mungu linasifiwa na wote.

Ufalme wa Kristo unafanyika duniani.

Hebu tuwe wenye akili moja (tukitimiza wajibu wetu),

tukilipiza upendo wa Mungu (kuwa na ushuhuda kwa Mungu),

tukieneza injili ya Ufalme wa Mungu (injili ya Ufalme wa Mungu).

Neno la Mungu linaenea duniani kote.

Jina takatifu la Mungu linasifiwa na wote.

Ufalme wa Kristo unafanyika duniani.

Ufalme wa Kristo unafanyika duniani.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp