Ushuhuda wa Kweli | Kurudi kwenye Njia Sahihi

23/07/2020

Chen Guang ni kiongozi wa kanisa. Ili kupata kibali na heshima ya viongozi wake, wafanyakazi wenzake na kina ndugu, anajitolea bila kuchoka kufanya kazi ya kanisa na kuwasaidia na kuwaauni ndugu zake. Juhudi zake zinaleta matokeo kiasi tu na bila kujua, anaanza kujionyesha na kujaribu kujitokeza anapotoa mahubiri kwenye mikutano. Hii inawafanya baadhi ya kina ndugu waliojiunga hivi karibuni kumpenda na kumstahi, ingawa ameingia katika njia mbaya bila kujua. Hii inaendelea hadi siku moja, mfanyakazi mwenzake Chen Guang anamshughulikia vikali sana, na wakati huo tu ndipo anaanza kutafakari juu yake mwenyewe…. Je, anapataje kutambua hatimaye kwamba amechukua njia mbaya na kurudi kwenye njia sahihi? Je, anapata njia gani sahihi ya utendaji?

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp