Wimbo wa Kikristo | Matamko Rasmi Juu ya Imani Katika Mungu (Music Video)

09/04/2020

Sehemu ya msingi zaidi ya imani katika Mungu

ni kusoma maneno ya Mungu kila siku.

Na mazoezi yanayotakiwa ya kila siku

ni maombi kwa Mungu na kujitafakari.

Lengo kuu la imani ni kutenda ukweli

na kuwa na kanuni kwa matendo yako.

Dhamiri unayopaswa kuwa nayo katika imani katika Mungu

ni kuwa mwaminifu katika wajibu kukamilisha agizo la Mungu.

Unapokuwa na upendo kwa Mungu, hiyo ndiyo imani ya kweli katika Mungu.

Kumpenda Mungu hukufanya uwe mwaminifu na mheshimiwa.

Ukiendelea kumpenda Mungu na kumwishia Mungu maisha yako,

hutawahi kujua hisia ya majuto.

Ni wale tu wanaompenda Mungu

kwa dhati ndio wawezao kumshuhudia na kumwinua.

Ni kweli: Hakuna kilicho na maana zaidi

na hakuna kilichobarikiwa Zaidi kuliko kumpenda Mungu.

Njia ya kupata wokovu ni kutii kazi ya Mungu,

kufuatilia ukweli.

Kukubali kushughulikiwa naye na hukumu Yake

ndilo somo la msingi la imani katika Mungu.

Ukweli muhimu Zaidi

ni kuingia katika ukweli na kuwa mwaminifu.

Fanya utii kwa ukweli kuwa misheni yako ya maisha,

hiyo ndiyo kanuni ya juu kabisa ya kutenda ya imani katika Mungu.

Unapokuwa na upendo kwa Mungu, hiyo ndiyo imani ya kweli katika Mungu.

Kumpenda Mungu kunakufanya uwe mwaminifu na mheshimiwa.

Ukiendelea kumpenda Mungu na kumwishia Mungu maisha yako,

hutawahi kujua hisia ya majuto.

Ni wale tu wanaompenda Mungu

kwa dhati ndio wawezao kumshuhudia na kumwinua.

Ni kweli: Hakuna kilicho na maana zaidi

na hakuna kilichobarikiwa Zaidi kuliko kumpenda Mungu.

Kushindwa kukubwa katika imani kwa Mungu

ni kuwafuata au kuwaabudu watu.

Unapomwamini Mungu, kumbuka,

lazima usimsaliti au kumpinga.

Lazima umche na uepuke maovu,

hiyo ndiyo njia ya maisha ya imani katika Mungu.

Kusudi la msingi la imani katika Mungu

ni kujifunza kumjua Mungu na kumshuhudia.

Unapokuwa na upendo kwa Mungu, hiyo ndiyo imani ya kweli katika Mungu.

Kumpenda Mungu kunakufanya uwe mwaminifu na mheshimiwa.

Ukiendelea kumpenda Mungu na kumwishia Mungu maisha yako,

hutawahi kujua hisia ya majuto.

Ni wale tu wanaompenda Mungu

kwa dhati ndio wawezao kumshuhudia na kumwinua.

Ni kweli: Hakuna kilicho na maana zaidi

na hakuna kilichobarikiwa Zaidi kuliko kumpenda Mungu.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp