Swahili Gospel Movie "Wakati Wa Mabadiliko" | Isikilize Sauti ya Mungu na Uinuliwe Kwenda Katika Ufalme wa Mbinguni

16/02/2018

Su Mingyue ni mhubiri wa kanisa la nyumbani huko bara China. Kwa miaka, amekuwa mtumishi aliyejitolea wa Bwana anayesisitiza kufanya kazi ya kuhubiri kwa ajili ya Bwana na kubeba mzigo wa kazi kwa ajili ya kanisa. Anaongozwa na neno la Paulo katika Biblia, akihisi kwamba kuamini tu katika Bwana kunatosha kuitwa mwenye haki na kuokolewa kwa neema. Ingawa mwanadamu bado hutenda dhambi bila kusita, dhambi zake zimesamehewa na Bwana, taswira yake itabadilishwa mara moja na kuwa takatifu na atainuliwa kwenda katika ufalme wa mbinguni Bwana atakapowasili. Hata hivyo, katika miaka ya hivi majuzi, kanisa limezidi kuwa lenye huzuni, waumini wamekuwa hasi na wanyonge kwa jumla, imani na upendo wao umepoa. Wafanyakazi wenza wengine huongozwa na neno la Bwana: "Si kila mtu aniitaye, Bwana, Bwana, ataingia katika ufalme wa mbinguni; lakini yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni" Wanashuku fikira kwamba "Bwana anapokuja, Ataibadili taswira ya mwanadamu mara moja na kumuinua kwenda katika ufalme wa mbinguni." Wanahisi kwamba kwa kuwa bado tunatenda dhambi siku zote, tunashindwa kufikia utakatifu kwa kiwango kikubwa na kutotii mapenzi ya Mungu, tunawezaje kuinuliwa kwenda katika ufalme wa mbinguni Bwana atakapokuja? Baada ya kuwasiliana na kujadili, Su Mingyue anahisi kwamba, kuna mkanganyiko mengine kati ya maneno ya Bwana na wazo la Paulo la kubadilisha taswira ya mwanadamu mara moja Bwana ajapo. Ni wazo gani lililo sahihi hata hivyo? Su Mingyue yuko katika hali ya mtanziko na kuchanganyikiwa moyoni. Ili kupata kanisa lililo na kazi ya Roho Mtakatifu ili kutatua mkanganyiko tendaji wake, ili asiachwe na Bwana, Su Mingyue anaamua kulichunguza Umeme wa Mashariki. Kupitia kujadiliana na kuwasiliana na wahubiri wa Kanisa la Mwenyezi Mungu, Su Mingyue na wengine hatimaye wanaelewa njia ya pekee ya kuingia katika ufalme wa mbinguni …

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp