Wimbo wa Dini | Miaka Elfu Mbili ya Kungoja | Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu (Music Video)

17/04/2018

Kwamba Mungu amekuwa mwili

hutikisa ulimwengu wa kidini,

inavuruga utaratibu wa kidini,

na inakoroga roho za wale

wanaongoja kuonekana kwa Mungu.

Nani asiyeshangazwa na haya?

Ni nani asiye na hamu ya kumwona Mungu?

Mungu ameishi kwa miaka mingi kati ya binadamu,

lakini binadamu hafahamu.

Leo, Mungu Mwenyewe ametokea

kufanya upya upendo Wake wa kitambo na mwanadamu.

Baada ya Yeye kuondoka Uyahudi,

Mungu alipotea bila kuonekana.

Watu wana hamu ya kumwona tena,

lakini kwamwe hawajawahi kutarajia

kuungana na Yeye hapa na leo.

Hii itakosa vipi kuleta kumbukumbu za kitambo?

Miaka elfu mbili iliyopita,

Simoni mwana wa Yohana alikutana na Bwana Yesu,

na akala na Bwana katika meza moja.

Miaka ya kufuatia iliongeza upendo wake Kwake.

Alimpenda Yesu kwa dhati.

Mungu ameishi kwa miaka mingi kati ya binadamu,

lakini binadamu hafahamu.

Leo, Mungu Mwenyewe ameonekana ili

kufanya upya upendo Wake wa kitambo na mwanadamu.

kufanya upya upendo Wake wa kitambo na mwanadamu.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp