Filamu ya Kikristo | “Kupata Furaha katikati ya Mateso” | How to Undergo the Trial of Illness

16/10/2020

Zhong Xinming ni kiongozi kanisani anayeweza kuvumilia mateso kwa ajili ya wajibu wake, na yeye ni mwangalifu sana na ni mwaminifu. Ingawa ana matatizo ya mgongo, anaendelea kufanya wajibu wake licha ya maumivu. Hata hivyo, hali yake inazidi kuwa mbaya na uchunguzi wa hospitali unaonyesha kwamba ana gegedu zilizochomoza kiunoni kwenye sehemu ya 4 na 5. Asipopokea matibabu mara moja, anaweza kuishia kuwa mgonjwa kitandani. Jambo hili linampa wasiwasi kidogo lakini anaamini ugonjwa huu umemfika kwa idhini ya Mungu na kwamba Mungu anamjaribu, Akijaribu imani yake na uaminifu wake. Anaamini kwamba almradi ashirikiane na matibabu na aendelee kufanya wajibu wake, hakika Mungu atamlinda. Lakini kadiri muda unavyopita, ndivyo hali yake inavyozidi kuwa mbaya na yeye yuko katika hatari ya kupooza wakati wowote. Je, anashinda majaribu ya ugonjwa huu vipi? Na anapataje furaha mwishoni? Tazama Kupata Furaha katikati ya Mateso ili ujue.

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp