Dondoo ya Filamu ya Injili ya 4 Kutoka “Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari”: Kiini cha Upinzani wa Mafarisayo wa Kidini kwa Mungu
13/06/2018
Mafarisayo wa dunia ya kidini wote wana maarifa nyingi ya Maandiko na wamemtumikia Mungu kwa miaka mingi, na bado hawatafuti na kuchunguza kuonekana na kazi ya Mungu mwenye mwili tu, lakini kinyume na hayo, wanahukumu vikali, kushutumu, na kupinga. Hili hakika ni la kushangaza! Hivyo kwa nini Mafarisayo wa dunia ya kidini wanamshutumu na kumpinga Mungu? Video hii itakujibu.
Ikiwa una matatizo au maswali yoyote katika imani yako, tafadhali wasiliana nasi wakati wowote.
Aina Nyingine za Video
Usomaji wa Maneno ya Mwenyezi Mungu
Maneno ya Mungu ya Kila Siku
Filamu za Injili
Ushuhuda wa Maisha ya Kanisa
Filamu za Ushuhuda wa Matukio ya Maisha
Filamu za Mateso ya Kidini
Mfululizo wa Video za Kwaya
Maisha ya Kanisa—Mfululizo wa Maonyesho Mbalimbali
Video za Muziki
Video za Nyimbo za Dini
Kufichua Ukweli
Dondoo Maalum za Filamu