Maneno ya Mungu ya Kila Siku: Hatima na Matokeo | Dondoo 583

23/09/2020

Katika nuru Yangu, watu wanaiona nuru tena. Katika neno Langu, watu wanapata mambo ambayo wanafurahia. Nimekuja kutoka Mashariki, Ninatoka Mashariki. Utukufu Wangu unapoangaza, mataifa yote yanatiwa nuru, vitu vyote vinaletwa kwenye mwanga, hakuna kitu hata kimoja kinachobaki gizani. Katika ufalme, maisha ambayo watu wa Mungu wanaishi pamoja na Mungu ni yenye furaha kupita kiasi. Maji yanacheza kwa furaha katika maisha ya watu yenye baraka, milima inafurahia pamoja na watu katika wingi Wangu. Wanadamu wote wanajitahidi, wakifanya bidii, wakionyesha uaminifu wao katika ufalme Wangu. Katika ufalme, uasi haupo tena, upinzani haupo tena; mbingu na dunia zinategemeana, Mimi na mwanadamu tunakaribiana katika hisia ya kina, katika furaha kuu tamu ya maisha, tukiegemeana…. Wakati huu, Ninayaanza rasmi maisha Yangu mbinguni. Usumbufu wa Shetani haupo tena, na watu wanaingia katika pumziko. Ulimwenguni kote, watu Wangu wateule wanaishi ndani ya utukufu Wangu, wakiwa wamebarikiwa sana, si kama watu wanaoishi kati ya watu, lakini kama watu wanaoishi na Mungu. Binadamu wote wamepitia upotovu wa Shetani, na kuishi maisha ya mateso makubwa. Sasa, mtu anawezaje kutofurahia akiishi katika nuru Yangu? Mtu anawezaje kuuachilia wakati huu mzuri umponyoke? Enyi watu! Imbeni wimbo ulio mioyoni mwenu na mnichezee kwa furaha! Iinueni na mnitolee mioyo yenu ya dhati! Pigeni ngoma zenu na mnichezee kwa furaha! Ninaangaza furaha Yangu ulimwenguni kote! Naufichua uso Wangu mtukufu kwa watu! Nitaita kwa sauti kubwa! Nitaupita ulimwengu wote! Tayari Ninatawala kati ya watu! Ninatukuzwa na watu! Ninapeperuka kwenye mbingu zenye rangi ya samawati na watu wanakwenda wakitembea pamoja nami. Ninatembea kati ya watu na watu Wangu wananizunguka! Mioyo ya watu ni yenye furaha, nyimbo zao zinautikisa ulimwengu, zikiipasua mbingu! Ulimwengu haujafunikwa kwa ukungu tena; hakuna matope tena, hakuna mkusanyiko wa maji machafu tena. Watu watakatifu wa ulimwengu! Mnaonyesha nyuso zenu za kweli chini ya ukaguzi Wangu. Ninyi sio watu mliofunikwa na uchafu, lakini ni watakatifu walio safi kama jiwe la thamani lenye rangi ya kijani kibichi, ninyi nyote ni wapendwa Wangu, ninyi nyote ni furaha Yangu! Vitu vyote vinafufuka! Watakatifu wote wamerejea ili kunitumikia mbinguni, wakiingia katika kumbatio Langu lililo changamfu, hawalii tena, hawana wasiwasi tena, wakijitoa Kwangu, wakirudi nyumbani Kwangu, nao watanipenda bila kukoma katika nchi yao! Wasibadilike kamwe milele! Huzuni iko wapi! Machozi yako wapi! Mwili uko wapi! Dunia inapita, lakini mbingu ni za milele. Ninawaonekania watu wote, na watu wote wananisifu. Maisha haya, uzuri huu, tangu zama za kale hadi mwisho wa dahari, havitabadilika. Haya ndiyo maisha ya ufalme.

kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili

Kingdom Anthem (III) All People, Shout for Joy

I

In God’s light, the people see light again. In God’s word, they find things to enjoy. God has come from the East, and when His glory shines, every nation lights up, nothing remains in the dark. Kingdom life with God is unbridled delight. Waters dance and celebrate the blessed lives of men. Mountains freely share God’s abundance with man. They’re loyal in the kingdom, working hard.

II

In the kingdom, there’s no rebellion there, no more resistance. God and man, are close, deeply sharing life’s joys. Earth and heaven depend on each other, and God starts the heavenly life, with Satan absent, the people at rest. Through the universe, God’s chosen live in His glory. Their life is not that of man with man, but with God. They are blessed beyond compare.

III

All men endured Satan’s corruption, tasted life’s sweetness and bitterness. Now living in God’s light, how can one not rejoice? How can one let such a beautiful moment pass? People, sing songs, dance, and play drums for God! Offer up sincere hearts to God! God shines joy over the universe, and shows the people His glorious face.

IV

God shall thunder, transcend the whole universe. God reigns among His people, exalted. He drifts through blue heavens, and people move with Him. God walks with His people, and they gather ’round. People’s hearts are joyful; their songs go forth, shake the universe, and crack the skies. No more fog or mud in the universe, there’s no more gathering of foul water here.

V

Holy people of the universe, under God’s inspection, show their true face. They are not impure people, but saints pure as jade. They are all God’s beloved, they are all God’s delights. All things live again; saints are now serving God, back in heaven in His warm embrace. There’s no more weeping, no more anxiousness. They offer themselves to Him.

VI

The holy ones, returning to God’s home, are now living in their homeland. Here they will endlessly love Him, without changing. No more sorrow and tears, and where is the flesh? Earth no more, the heavens forever. God appears to all men and all praise Him. This life, this beauty, will never change. This is life in the kingdom, the kingdom.

from Follow the Lamb and Sing New Songs

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp