Maneno ya Mungu ya Kila Siku: Hatima na Matokeo | Dondoo 587

Katika dunia hii kubwa, mabadiliko yasiyo hesabika yamefanyika, tena na tena. Hapana aliye na uwezo wa kuongoza binadamu isipokuwa Yeye ambaye Anatawala juu ya kila kitu katika ulimwengu. Hakuna yeyote hodari kwa kazi au kufanya maandalizi kwa ajili ya binadamu, wala aliye na uwezo wa kuwaongoza wanadamu kurejelea mwanga na ukombozi kutokana na ukosefu wa haki duniani. Mungu Analalamikia wakati ujao wa wanadamu, na Anahuzunishwa na kuanguka kwa mwanadamu. Anahisi huzuni kwa kuangamia kwa mwanadamu polepole na kwenda katika njia isiyo na upande wa kurudi. Mwanadamu ameuvunja moyo wa Mungu, akamkana na kumfuata yule mwovu. Hakuna waliowahi kuwa na mawazo kuhusu mwelekeo ambao mwanadamu wa aina hii atafuata. Ni kwa sababu hii haswa ndio kwamba hakuna ambaye ameona hasira ya Mungu. Hakuna anayetafuta njia ya kumpendeza Mungu au kujaribu kuwa karibu na Mungu. Kadhalika, hakuna anayetafuta kufahamu huzuni na maumivu ya Mungu. Hata baada ya kusikia sauti ya Mungu, binadamu anaendelea tu kwenye njia yake mbali na Mungu, kukwepa neema na huduma ya Mungu, na kuepuka ukweli wa Mungu, akiona ni afadhali auuze mwili wake kwa Shetani, adui wa Mungu. Na ni nani amewahi kuwa na mawazo yoyote ya jinsi gani Mungu atamtendea mwanadamu asiyetubu na ambaye amempuuza? Hakuna anayejua kwamba ukumbusho wa mara kwa mara na nasaha za Mungu ni kwa sababu Yeye anayo katika mikono yake maafa Aliyowaandalia yasiyokuwa ya kawaida, maafa ambayo yatakuwa magumu kwa mwili na nafsi ya mwanadamu kustahimili. Janga hili sio tu adhabu ya mwili bali ya roho pia. Lazima ujue hili: Mpango wa Mungu unapokataliwa na wakati kuwakumbusha kwake na nasaha hazileti mabadiliko, Atakuwa na hasira ya aina gani? Hii itakuwa kama kitu ambacho hakijawahi kushuhudiwa hapo awali au hata kusikika na viumbe vyovyote. Na hivyo Nasema, janga hili ni kubwa mno na kamwe hayatawahi kurudiwa. Hii ni kwa sababu uumbaji mmoja tu na wokovu mmoja wa mwanadamu ndio ulio ndani ya mpango wa Mungu. Hii ni mara ya kwanza na pia ni ya mwisho. Kwa hivyo, hakuna anayeweza kuelewa nia ya huruma na hamu ya Mungu kwa matarajio yake ya kuwaokoa wanadamu.

Kimetoholewa kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili

God Laments the Future of Mankind

I

In this vast world which has changed countless times ever since before history, there is no one to lead and guide man, no one but He who rules over all. No mighty lord labors and prepares for the sake of this mankind’s needs. None can lead them into bright future, nor free them from injustice of this world. God laments the future of humankind. How He grieves at the fall of them! See His sorrow as they fail to learn that they march the road of no return. Man has rebelled, broken the heart of God; Satan’s evil path they’ve gladly trod. And no one has stopped to clearly see where mankind will eventually go.

II

Who then stops and senses God’s anger? Who seeks to please and get close to Him? Where’s the one who glimpses God’s sorrow or tries to grasp the pain He feels? Even when they’ve heard His calling voice, they press down on the path that leads away from God’s mercy, truth, and watchful gaze; willingly, they sell themselves to Satan. God laments the future of humankind. How He grieves at the fall of them! See His sorrow as they fail to learn that they march the road of no return. Man has rebelled, broken the heart of God; Satan’s evil path they’ve gladly trod. And no one has stopped to clearly see where mankind will eventually go.

III

How then will God act towards the one who stands defiant and dismisses Him? Know that God’s calls and urgings are followed by disaster grim and hard to bear. It punishes not just man’s flesh but his soul. None can tell what wrath God will unleash when His plan’s made void and His voice ignored, wrath that man has never felt or heard. This is a calamity unique; God’s planned one creation and salvation. This is the first time, and the last. No one can feel with his heart God’s anguished love and fervent desire to save mankind. God laments the future of humankind. How He grieves at the fall of them! See His sorrow as they fail to learn that they march the road of no return. Man has rebelled, broken the heart of God; Satan’s evil path they’ve gladly trod. And no one has stopped to clearly see where mankind will eventually go, where mankind will eventually go.

from Follow the Lamb and Sing New Songs

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp